Lagu
Artis
Genre
Sampul lagu Nairobi

Lagu lain dari Marioo

  1. TETE
  2. MVUA
  3. DUNIA
  4. OLUWA
  5. HA HA HA
  6. Sober
Semua lagu

Lagu lain dari Bien

  1. ⁠State Of My Heart
Semua lagu

Deskripsi

Penulis: Marioo

Penulis: Bien

Produser: Kanibal

Komposer: Marioo

Komposer: Bien

Lirik dan terjemahan

Asli

Uuh-uuh, yeah, kutoka alooh

Mmh (it's Kaniba)

Nilikutana naye Kilimani, Nairobi

Elfu mbili na kumi na tano

Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano

Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh

Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano

Ah, nikamuomba akaniomba namba

Moyoni mwangu nikampa moja

She's my number, ah, number, ah moja

Nikamuomba akaniomba namba

Moyoni mwangu nikampa moja

Now she's my number, ah, number, ah, moja

Yani namaanisha kwamba

Ndio tushaoana

Ndio tushaoana

Tushaoana

Ndio tushaoana

(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)

(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)

Tulipatana Bongo, Mikocheni

Niko zangu beach nala upepo wa bahari

Alinipita kama meli

Anayumbayumba akidondosa kishenzi

Ooh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie

Habari gani mbona uko lonely

Jina ni gani akasema Zari

Nikamwambia aje (aje)

Nikamwambia kwangu ni kwake

Nimshike wapi ndio aje

Nataka moyo wangu uwe wake

Watangoja sana

Wakidhania tutaachana

Mi' na yeye tumeshaivana

Naichapa usiku na mchana

Aiyaiyayah, aah

Yani namaanisha kwamba

Ndio tushaoana

(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)

Tushaoana

(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)

Ndio tushaoana

Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah

Ndio tushaoana

Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah

Oh, yeah, tushaoana

Ooh, alooh!

Terjemahan bahasa Indonesia

Uuh-uuh, ya, kutoka alooh

Mmh (itu Kaniba)

Nilikutana naye Kilimani, Nairobi

Elfu mbili na kumi na tano

Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano

Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh

Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano

Ah, nikamuomba akaniomba namba

Moyoni mwangu nikampa moja

Dia nomorku, ah, nomor, ah moja

Nikamuomba akaniomba namba

Moyoni mwangu nikampa moja

Sekarang dia nomorku, ah, nomor, ah, moja

Yani namaanisha kwamba

Ndio tushaoana

Ndio tushaoana

Tushaoana

Ndio tushaoana

(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)

(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)

Tulipatana Bongo, Mikocheni

Pantai Niko zangu nala upepo wa bahari

Alinipita kama meli

Anayumbayumba akidondosa kishenzi

Ooh, zombie Mikocheni nikamfata utadhani

Habari gani mbona uko kesepian

Jina ni gani akasema Zari

Nikamwambia aje (aje)

Nikamwambia kwangu ni kwake

Nimshike wapi ndio aje

Nataka moyo wangu kamu bangun

Watangoja sana

Wakidhania tutaachana

Mi' na yeye tumeshaivana

Naichapa usiku na mchana

Aiyaiyayah, aah

Yani namaanisha kwamba

Ndio tushaoana

(Tushaoana na yeye sa'ni mi' tu na yeye)

Tushaoana

(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)

Ndio tushaoana

Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah

Ndio tushaoana

Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah

Oh ya, Tushaoana

Ooh, alooh!

Tonton video Marioo, Bien - Nairobi

Statistik lagu:

Pemutaran Spotify

Posisi tangga lagu Spotify

Puncak tangga lagu

Tayangan YouTube

Posisi tangga lagu Apple Music

Shazams Shazam

Posisi tangga lagu Shazam